Mikopo ya kifedha kwa wafanyabiashara na wafanyakazi wa umma na sekta binafsi.
– Riba na masharti nafuu zaidi
– Mikopo inapatikana kwa haraka
– Mikopo ya muda mfupi
Wicom Finance Ni taasisi ya kifedha inayotambulika kisheria, inayojihusisha na utoaji wa Mikopo ya kifedha kwa wafanyabiashara, wajasiriamali, watumishi wa serikali na makampuni binafsi. Wicom Finance Limited imesajiliwa chini ya Sheria ya Kampuni ya 2002 ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.